iqna

IQNA

Hagia Sophia
TEHRAN (IQNA)- Qarii maarufu wa Misri, Sheikh Ahmed Ahmed Noaina amesoma Qur'ani Tukufu katika Msikiti wa Hagia Sophia huko Istanbul, Uturuki.
Habari ID: 3475206    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/04

TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Uturuki leo wameshiriki katika Swala ya kwanza ya Idul Adha katika Msikiti wa Hagia Sophia mjini Istanbul.
Habari ID: 3473018    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/31

TEHRAN (IQNA) – Baada ya msikiti wa Hagia Sophia kufunguliwa mjini Istanbul, Uturuki, idadi kubwa ya watalii wa kigeni na wa ndani ya nchi wamefika katika msikiti huo.
Habari ID: 3473015    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/30

TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Kimataifa ya Mwamko wa Kiislamu imeipongeza Uturuki kwa hatua yake ya kulirejeshea jengo la kihistoria la Hagia Sophia hadi yake ya msikiti.
Habari ID: 3473000    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/26

TEHRAN (IQNA)- Swala ya kwanza ya Ijumaa imeswaliwa katika Msikiti wa Hagia Sophia , Istanbul Uturuki baada ya zaidi ya miaka 86.
Habari ID: 3472995    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/24

TEHRAN (IQNA) – Wanaharakati na waumini wamekusanyika nje ya Hagia Sophia mjini Istanbul, Uturuki kusherehekea kugeuzwa jengo hilo kuwa msikiti na baada ya kuwa jumba la makumbusho kwa muda mrefu.
Habari ID: 3472953    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/12

Mahakama ya Kilele Uturuki
TEHRAN (IQNA) - Mahakama ya juu zaidi nchini Uturuki imefungua njia ya jumba la zamani la Hagia Sophia kugeuzwa kuwa msikiti na kubadilisha hadhi yake ya sasa kama jumba la makumbusho.
Habari ID: 3472949    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/11

TEHRAN (IQNA) – Mahakama ya Uturuki siku ya Alhamisi ilisikiliza kesi kuhusu Jumba la Makumbusho la Hagia Sophia mjini Istanbul kurejeshwa katika hadhi yake ya msikiti.
Habari ID: 3472926    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/03

TEHRAN (IQNA) - Zaidi ya asilimia 73 ya watu wa Uturuki wanataka Jumba la Makumbusho la Hagia Sophia mjini Istanbul lirejee katika hadhi yake ya msikiti.
Habari ID: 3472859    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/12

TEHRAN (IQNA) - Aya za Qur'ani Tukufu zimesomwa katika Kanisa Kubwa la Hagia Sophia ambalo sasa ni jumba la makumbusho mjini Istanbul Uturuki.
Habari ID: 3472812    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/29

TEHRAN (IQNA)- Jumba la Makumbusho la Hagia Sophia mjini Istanbul litageuzwa na kurejea katika hadhi yake ya msikiti, ameamuru Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki.
Habari ID: 3471893    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/29